![](https://fbs.com/upload/promo/banner/eccc31c88eed96c926e071b9f1010673.gif?ppu=13940898)
JINSI YA KUANZISHA BIASHARA YA CHIPSI KWA TSH LAKI NNE NA THELASINI NA TANO 435,000. TU.
Biashara ya chipsi imezidi kushamiri na kuwa moja Kati ya chakula pendwa Sana hivyo kupelekea kuwa ajira na sehemu ya kipato kwa watu.
Leo nataka kukuonyesha namna unaweza kuanza biashara yako kwa mtaji mdogo tu wa laki nne na ukaiona faida.
GHARAMA ZA KUDUMU.
Jiko la chips......................... 30,000.
Jiko la mishkaki...............25,000-45,000.
Kabati la vioo....................200,000.
Sahani kumi (10).......15,000.
meza ndogo ......50,000.
Vikorokoro vya kusaidia kazi ...30,000.
Ndoo unaweza kutumia za kwako si lazima ununue.
GHARAMA ZA KUENDESHA BIASHARA.
Kodi........5000 kila siku pengine 3000.
Mkaa.......7000.
Ndoo ya viazi............15,000.
Kuku wawili..........10,000.
mafuta 3 litre....@14000.
mayai Trey moja. 8000.
JUMLA KUU .......435,000.
KUMBUKA: BEI HIZI ZINABADILIKA KULINGANA NA SOKO.
![](https://fbs.com/upload/promo/banner/6fc0da51b018149ada47cd109944b707.gif?ppu=13940898)
Muongozo wa mauzo na faida zake kwamwezi siku au wiki
JibuFutaJe kunachangamoto gani katika biashara
JibuFutaNataka kujua ili biashara yangu iwe ya pekee nifanyeje
JibuFutaNikujituma kila kitu kina
JibuFutawezekana