Jumatatu, 27 Mei 2019

Biashara ya Matunda

BIASHARA YA MATUNDA(FRUIT SALAD)

Mahitaji
Vifaa
Epron@sh3000-5000
Kilemba au kofia maalum@sh1000-3000
Kisu @sh1000-3000
Beseni @sh1500-3000
Slicer(mashine ya kukatia matunda)@sh15,000-350000
Container(vifungashio)@sh100-150
Vijiko na uma vya plastic @sh50-100
Maji na sabuni @1000

Malighafi
Machungwa@sh100-150
Matango@sh200-500
Maembe@sh300-500
Ndizi@sh60-150
Nanasi@sh500-1500
Strawberry@sh5000kg
Zabibu@sh1000-2500
Parachichi@sh200-500
Papai@sh1000-2500
Tikiti maji@sh3000-10000
N.k

JINSI YA KUANDAA MATUNDA
Matayarisho
1. Osha na ondoa maganda kwenye embe, nanasi,ndizi,tango, papai na tikiti,parachichi,papai, maji kisha kata kata vipande vidogo vidogo vya mraba
2. Changanya vipande vya matunda kwenye bakuli safikisha weka na zabibu zilizotolewa kwenye kikonyo chake, katakata strawberry katika vipande vidogo
3.Osha vifungashio kwa maji ya moto viache vikauke majimaji yote waweza vifuta kwa vitambaa safi
3.kisha weka kwa mgawanyo sawa wa vipande katika vifungashio vyako
3. Weka kwenye friji yapate ubaridi kidogo, kama huna friji nunua barafu livunje vunje weka saladi yako kwa saa 1
4. Saladi yako tayari kwa kuliwa
Waweza kuuza katika maduka,ofisi,vyuo,stendi na sehemu zenye makutano ya watu wengi pia inaweza kuliwa kama mlo wa kati au kama mlo kamili wa usiku
5.bei ya container moja ya fruit salad ni sh 700-1500 kulingana na mazingira uliyopo
6.mtaji ni kuanzia Tsh 100,000
7.ili kuboresha biashara na kuitofautisha unaweza tengeneza kajarida kadogo kitakacho elezea faida za kila tunda kwa mwili na tiba yake kwa magonjwa

Angalizo bei ya vitu inatofautiana kulingana na mahali ulipo.

Chukua hatua mjenzi wa maisha yako ni wewe mwenyewe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni